House4Sale Nyumba hii inauzwa. Ipo Kiharaka kabla yakufika Chuo cha Jeshi Mbweni Mwisho

House4Sale Nyumba hii inauzwa. Ipo Kiharaka kabla yakufika Chuo cha Jeshi Mbweni Mwisho

KakaKiiza

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2010
Posts
11,794
Reaction score
9,075
Naomba kuwajulisha kuwa Nauza nyumba Ipo Kiharaka ukipita daraja la Bunju unapinda kulia ilipo kambi ya jeshi sasa kabla ya kufika Nyumba ipo hapo Serikali za mitaa.
  • Ukubwa wa Nyumba ina vyumba 3 kimoja ni Master,
  • Seating Room
  • Public toilet
  • Store
  • Nje ina fremu mbili kama unataka kufanya biashara
  • Maji tayari
  • Umeme tayari
  • Sealing Board tayari(Gypsum)
  • Milango na madirisha tayari yameishawekwa grill na mageti kama zinavyoonekana
  • Ukuwa wa kiwanja ni sqm 900 zimetumika 400 katika ujenzi.
BEI NAUZA KARIBU NA BURE KWAKUWA NINA SHIDA 40ML-NIPIGIE KATIKA 0752307878
Nyumba ndiyo hiyo katika Picha.
MAZUNGUMZO YAPO

Nyumb.jpeg


Nyumb2.jpeg


Nyumb3.jpeg
 
Mkuu,Nyumba hapo ilipo inawezekana kuiwekea uzio na geti? sheria inaruhusu? na maanisha kuna eneo la wazi pembeni ya hiyo Nyumba ili kujenga uzio na kuweka geti?
 
Mkuu,Nyumba hapo ilipo inawezekana kuiwekea uzio na geti? sheria inaruhusu? na maanisha kuna eneo la wazi pembeni ya hiyo Nyumba ili kujenga uzio na kuweka geti?
Ndiyo mzee kiwanja kinaruhusu hapo unaona barabara imeingia katika kiwanja kwani kulikuwa na dimbwi mvua ikinyesha hivyo magari yana kwepa inalazimu kuingia katika kiwanja
 
Kweli sema changa moto inabidi iuzwe tu hakuna namna!
 
Back
Top Bottom