Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
ALAF hapati chini ya 30,000/ kwa bati ya 28gHiyo nyumba ni kubwa na pia aina ya bati analotaka kutumia ni ghali vile vile. We nenda kiwanfa chochote cha bati uliza bei ya versatile gauge 28 uone bei utakayoambiwa. Wala usiende Alfaf we nenda viwanda vya mtaani ambako bei ni nafuu kuliko Alaf
Basi sawa apambane na batiYes. Uko sahihi kabisa mkuu.
Lakini kwa bati anazotaka yeye huwa kiwandani wanakata kwa urefu tofauti maana paa lake kuna sehemu litahitaji bati bdefu zaidi ta meta 3 na pengine fupi labda meta 2 au 1.5
Ukinunua bati hizo za meta 3 scraps zitakuwa nyingi sababubya design ya bati lake
UREMBOHii mikunjo yote ya nini jamani
Mkuu hilo hata yeye anajua kua fundi atampa majibu ila kuleta hapa ni kupata makadirio ya wadau wengine piaUkimpa hii plan fundi wako wa kuezeka atakupa majibu sahihi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwanini kaka.?Mkuu iyo roof plan yako utazani gest zile za wamasai pale mikumi [emoji23][emoji23][emoji23]
Kona Kona nyingi Sanaa mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwanini kaka.?
Kona Kona nyingi Sanaa mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwanini kaka.?
[emoji3][emoji3]Mkuu iyo roof plan yako utazani gest zile za wamasai pale mikumi [emoji23][emoji23][emoji23]
Mnatisha kijinga, yani kwa hako ka mjengo kupaua tu ifike 30M??
Nilikuwa sijapita kuona muendelezo wa hii thread. Ndio maana naepuka ramani kubwa zenye kona kona!Aproximately RM820
Versatiles 820x 19,000=15,580,000
Ila hapo bado kofia zitagharimu appx. 1,200,000 na misumary 400,000
Mbao kama unanunua Dar ni appx. 6,500,000 (mbao za paa na draft na assume unafanya kwa pamoja)
Fundi 4,000,000
Hapa inabidi uwe na 30,000,000 cash ili usikwame njiani. Hiyo nyumba ni kubwa sana
Kila la heri mkuu niliwahi pitia haya maumivu sitasahau
Alietoa bei hio kaweka hesabu, labda na wewe tuwekee hesabu.Mnatisha kijinga, yani kwa hako ka mjengo kupaua tu ifike 30M??
Kwenye finishing 30M inaweza kuisha, lakini si kwenye kupaua.
Mikunjo inaendana na ramani jinsi ilivyo na kona kona nyingi.Hii mikunjo yote ya nini jamani
Roof plan bila kujua angle yake itakuwa ngumu sana kujua idadi ya mabatiWakuu,
Nimeambatanisha roof plan ya nyumba ambayo imeshajengwa hivyo imebaki kuezekwa.
Nategemea kutumia bati za versatile, hivyo kwa wazoefu mliopo humu ndani nitashukuru sana kama mtaweza kunikadiria idadi ya bati zitakazo tumika ili kujiandaa ipasavyo. Asanteni sana View attachment 2060971
Nyumba ya kona nyingi hivyo tuwaachie akina bhakressa tuMikunjo inaendana na ramani jinsi ilivyo na kona kona nyingi.
Tayari mkuu. Nilipaua kwa bati ya mgongo mpana (msouth), jumla ya gharama kila kitu ni sh. 16.5m pamoja na blunderingBABA TUPAC umeshapaua nikupe shikamoo[emoji23][emoji23][emoji23]
Msaidie kwa idadi ya bati za 3m itakuwa 532÷ 3= 177 Bati16.175m × 18.4m=297.62 m ²
297.62m² ~298m²
298 * 1.5 (king post) =447m
447m ÷ UPANA wa bati ambay ndo coverage yak,
Hap weng hutumia zenye upana wa 90cm ambayo inakuja kuwa 84cm
84cm una change Kuja kwa mita itasomeka 0.84m
447m ÷ 0.84m =532.14
Total runmeter =532.14( +/-)