"katika ugomvi wa mke na mume, mke aliamua kwenda kutafuta udi na kufukiza chumbani na mwilini mwake"
mume aliporudi na kupata mshituko wa harufu iliyotanda ndani, mke alidanganya kuwa ni harufu ya net kwa sababu ni mpya,
baada ya mume kupekua alikuta vipande vya udi ndani ya mkoba wa mke wake.
Baada ya kuhoji sana mke aliishia kulia mpaka sasa haijulikani ni nini kilifanyika.
'nimeamua kulala nje ya nyumba, hadi nitakapopata ufumbuzi"
wadAU mnisaidie
mume aliporudi na kupata mshituko wa harufu iliyotanda ndani, mke alidanganya kuwa ni harufu ya net kwa sababu ni mpya,
baada ya mume kupekua alikuta vipande vya udi ndani ya mkoba wa mke wake.
Baada ya kuhoji sana mke aliishia kulia mpaka sasa haijulikani ni nini kilifanyika.
'nimeamua kulala nje ya nyumba, hadi nitakapopata ufumbuzi"
wadAU mnisaidie