kuna kitu hamjaelewa hapa. huyu mama alikuwa anajiandaa kwenda kujirusha na kidume kinachopenda uudi na mzee akamkwida aeleze nani kamuagiza ajifukize manake mzee wake hana mazoea wala interst na uudi. kwa kweli huyo mwanamke anatakiwa kibano cha nguvu hadi ataje hilo buzi lake la kimwambao na kisha kisago na baadaye talwaka 30! nyambaf!