UNSPECIFIED
JF-Expert Member
- Sep 13, 2017
- 792
- 2,609
Kwa hyo nyumba ni ya kwakoHabari waheshimiwa,
Nyumba ipo Dodoma maeneo ya Mipango imepakana na Chuo cha Madini,Unapanda Daladala moja mpaka mjini hakuna ulazima wa kupanda bodaboda kutoka nyumbani
-Ina vyumba viwili self contained
-Ina vyumba viwili vya kawaida -(havina vyoo)
-jiko ,sitting room ,dining na choo cha public ni vizuri sana
*Nyumba ni mpya nitaambatanisha picha wakati hatua za umaliziaji zikiendelea sijaweza kupata picha ambazo ni current kwa sababu nipo mkoa tofauti na Dom
-Bei ni sh.400,000 kwa mwezi
-Mawasiliano 0622098447
KaribuniView attachment 1002802View attachment 1002806View attachment 1002807View attachment 1002808
Ni ya kwangu ndioKwa hyo nyumba ni ya kwako
Nikupe hongera kwa hilo bossNi ya kwangu ndio
Asante sana bossNikupe hongera kwa hilo boss
Sasa chief nyumba yako na wakat huu wa digitali ushindwe kupata picha za finishing, kwamba umeambiwa kwa maneno nyumba yako tumeikamilisha ukakubali, sio rahisiNi ya kwangu ndio
Ni maeneo tulivu sana na pamezungukwa na taasisi nyingi za kanisa hasa Catholic ( shule,hospitali nk) pia taasisi za kiserikali kama hospitali teule ya St.Gemma,Chuo cha Mipango,Madini,kambi ya Jeshi (makazi) zipo karibu
Mimi ndio mmliki boss,we unatoa ngapi?
Asante mkuuhongera mkuu...😊
Nashukuru kwa ushauri ,nimewakatalia wanafunzi walitaka kunipa 360,000\=Mipango Ni nje ya mji kabisa ,,, kwa hiyo Bei ni ngum kupata ! Fanya 250/300k
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana ndugu,Majirani zangu hao hawana shida ,kama wewe ni mtu wa mazoezi unapasha nao jioni uwanjani wanakukimbizakimbizaHongera boss nyumba yako ni nzuri sana,naona pia ipo karibu sana na makazi ya jeshi,vp na ww ni msoldier?[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app