House4Rent Nyumba inapangishwa Dodoma

House4Rent Nyumba inapangishwa Dodoma

UNSPECIFIED

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2017
Posts
792
Reaction score
2,609
Habari waheshimiwa,
Nyumba ipo Dodoma maeneo ya Mipango imepakana na Chuo cha Madini,Unapanda Daladala moja mpaka mjini hakuna ulazima wa kupanda bodaboda kutoka nyumbani
-Ina vyumba viwili self contained
-Ina vyumba viwili vya kawaida -(havina vyoo)
-jiko ,sitting room ,dining na choo cha public ni vizuri sana

*Nyumba ni mpya nitaambatanisha picha wakati hatua za umaliziaji zikiendelea sijaweza kupata picha ambazo ni current kwa sababu nipo mkoa tofauti na Dom
-Bei ni sh.400,000 kwa mwezi
-Mawasiliano 0622098447
Karibuni
FB_IMG_1509884103301.jpg
IMG_20170827_111519.jpg
IMG_20170827_111603.jpg
IMG_20170816_111731-EFFECTS.jpg
 
Habari waheshimiwa,
Nyumba ipo Dodoma maeneo ya Mipango imepakana na Chuo cha Madini,Unapanda Daladala moja mpaka mjini hakuna ulazima wa kupanda bodaboda kutoka nyumbani
-Ina vyumba viwili self contained
-Ina vyumba viwili vya kawaida -(havina vyoo)
-jiko ,sitting room ,dining na choo cha public ni vizuri sana

*Nyumba ni mpya nitaambatanisha picha wakati hatua za umaliziaji zikiendelea sijaweza kupata picha ambazo ni current kwa sababu nipo mkoa tofauti na Dom
-Bei ni sh.400,000 kwa mwezi
-Mawasiliano 0622098447
KaribuniView attachment 1002802View attachment 1002806View attachment 1002807View attachment 1002808
Kwa hyo nyumba ni ya kwako
 
Ni ya kwangu ndio
Sasa chief nyumba yako na wakat huu wa digitali ushindwe kupata picha za finishing, kwamba umeambiwa kwa maneno nyumba yako tumeikamilisha ukakubali, sio rahisi

Sent from my Le X522 using Tapatalk
 
Hongera boss nyumba yako ni nzuri sana,naona pia ipo karibu sana na makazi ya jeshi,vp na ww ni msoldier?[emoji3] [emoji3] [emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana ndugu,Majirani zangu hao hawana shida ,kama wewe ni mtu wa mazoezi unapasha nao jioni uwanjani wanakukimbizakimbiza
 
Back
Top Bottom