UNSPECIFIED
JF-Expert Member
- Sep 13, 2017
- 792
- 2,609
Habari waheshimiwa,
Nyumba ipo Dodoma maeneo ya Mipango imepakana na Chuo cha Madini,Unapanda Daladala moja mpaka mjini hakuna ulazima wa kupanda bodaboda kutoka nyumbani
-Ina vyumba viwili self contained
-Ina vyumba viwili vya kawaida -(havina vyoo)
-jiko ,sitting room ,dining na choo cha public ni vizuri sana
*Nyumba ni mpya nitaambatanisha picha wakati hatua za umaliziaji zikiendelea sijaweza kupata picha ambazo ni current kwa sababu nipo mkoa tofauti na Dom
-Bei ni sh.400,000 kwa mwezi
-Mawasiliano 0622098447
Karibuni
Nyumba ipo Dodoma maeneo ya Mipango imepakana na Chuo cha Madini,Unapanda Daladala moja mpaka mjini hakuna ulazima wa kupanda bodaboda kutoka nyumbani
-Ina vyumba viwili self contained
-Ina vyumba viwili vya kawaida -(havina vyoo)
-jiko ,sitting room ,dining na choo cha public ni vizuri sana
*Nyumba ni mpya nitaambatanisha picha wakati hatua za umaliziaji zikiendelea sijaweza kupata picha ambazo ni current kwa sababu nipo mkoa tofauti na Dom
-Bei ni sh.400,000 kwa mwezi
-Mawasiliano 0622098447
Karibuni