BANGO JEUPE
JF-Expert Member
- Nov 21, 2015
- 3,079
- 2,152
- Thread starter
-
- #21
Namaanisha ghorofa chiefGotofa ndo nn
Madalali Wa bongo.hewa ata kutengeneza tangazo auweziPicha zinajieleza zaidi
Ina vyumba vitatu chini, viwili juu +parking + maji +umeme, kila chumba na choo chake, dining na sebule kubea,stoo na bustani
Ipo Kigamboni Kibada km 10 toka Ferry
Bei: dolla 700 (malipo miezi 6 n.k)
Ukija kuiona Maongezi yapo
NB: Dalali yangu ni mwezi mmoja
Karibuni sana
Mob:+255 718 295 182
--------------------------------
Bango
Nina uwezo mdogo Naomba unifundishe chiefMadalali Wa bongo.hewa ata kutengeneza tangazo auwezi
Ha ha haaa,Jina lako limenikumbusha kiwanja kimoja eneo hilo kinaitwa Silver Shark
Ha ha haaa,
Kiko wapi hicho??