House4Rent Nyumba inapangishwa Kigamboni(ghotofa)

House4Rent Nyumba inapangishwa Kigamboni(ghotofa)

Asante kwa marekebisho mkuu na ndo maana ya kuanika hadharani mahali nyumba ilipo
Sasa turudi kwa wahitaji wa nyumba kama wapo tuongee biashara!n
 
Picha zinajieleza zaidi

Ina vyumba vitatu chini, viwili juu +parking + maji +umeme, kila chumba na choo chake, dining na sebule kubea,stoo na bustani
473213a7d188572ea64604ef8c2daba2.jpg
fef0660ac8300122c61ac1c3574165e0.jpg
d095ec715eeab45343384bc0214da65a.jpg
9f52ad6e8204e810ab65cb8eccd51105.jpg


Ipo Kigamboni Kibada km 10 toka Ferry

Bei: dolla 700 (malipo miezi 6 n.k)
Ukija kuiona Maongezi yapo

NB: Dalali yangu ni mwezi mmoja
Karibuni sana

Mob:+255 718 295 182
--------------------------------
Bango
b8e2043e71b632c87c264a6d9090ee7c.jpg
Madalali Wa bongo.hewa ata kutengeneza tangazo auwezi
 
Mungu anawaona madalali. Dola 700 kwa kazi ipi zaidi? Hii miaka kumi ya Magu mtanyooka tu. Yaani kuwa tu na information wapi nyumba ipo? Is that knowledge sufficient to earn dola 700? Nimekutana na real estate agency huko nje ya nchi na kwenyewe kuna fee ya dalali lakini sio amount hiyo hii ni purely extortion. Ndo maana madalali wengi ni darasa na saba au form four na wanategemea ujanja ujanja kuishhi mjini kwa maana hawana skills zozote. Wengi watakimbia mji enzi hizi za Magufuli na ndo hapo sasa sekta ya real estate itendeshwa na wataalamu sio hawa makanjanja waliokimbia umande
 
Back
Top Bottom