House4Rent Nyumba inapangishwa mtoni kijichi

Yaani natamani kodi yangu ingeisha kesho maana hapa nilipo bado miezi mitatu Mkuu ila nitajaribu kukutafuta baada ya kodi yangu hapa kuisha nione kama bahati itakuwa yangu kuna umbali gani toka ome mpaka barabara kuu
 
Yaani natamani kodi yangu ingeisha kesho maana hapa nilipo bado miezi mitatu Mkuu ila nitajaribu kukutafuta baada ya kodi yangu hapa kuisha nione kama bahati itakuwa yangu kuna umbali gani toka ome mpaka barabara kuu
Inshallah,Dk 15-20 kwa miguu,bodaboda dk 3-5
 
Kaibu na kwa Salimu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…