Hawajui hii biz!Unashangaa nini sasa, tatizo mmeshazoea kula kulala kwa mashemeji zenu!
Mji uko kinyerezi sikuhizi mkuu,tabata ndo kila kitu!!Nimeipenda ila kinyerezi mbali,ningepata maeneo ya mwenge ningelipia,natak niame uku niliko,wachaw wengi
Mkuu pole sana ushauri mzuri ila wenye nyumba wengi hawana mda huoIla madalali mngekua mnachukua atleast nusu ya kodi ya mwezi au hata robo
Mwezi wote mzima ni parefu sana ingawa mnafanya kazi nzuri
Ila wamiliki wa nyumba,kwanini msitafute wateja directly?Hawa watu wa kati hutuumiza sana