House4Rent Nyumba inapangishwa (vyumba vitatu)kimara baruti

House4Rent Nyumba inapangishwa (vyumba vitatu)kimara baruti

Pole sana mkuu ila hii nyumba kwa bei hiyo hapana!.. mm kama dalali kwa nyumba hiyo mwisho 450,000 japo mm mwenye nyumba akiamua kuchukua 250k mm nitafurahi koz wateja hao wapo kibao.. ila nakuambia demand ya vyumba vitatu nikubwa.. hii haimalizi j2 jioni imeshaondoka


Demand kubwa ya nyumba iko Dodoma sasa hv sio Dar, unaishi kwa mazoea ww huendi na wakati.. Usawa huu wa Magu nani alipe nyumba hiyo 500k? Hii sio nyumba ya hela hiyo hata kidogo.. Pia huwezi pata mteja kwa location na nyumba hiyo ilivyo.. Hata Dodoma hiyo nyumba huwezi pata mteja kwa 500k labda 250k
 
Demand kubwa ya nyumba iko Dodoma sasa hv sio Dar, unaishi kwa mazoea ww huendi na wakati.. Usawa huu wa Magu nani alipe nyumba hiyo 500k? Hii sio nyumba ya hela hiyo hata kidogo.. Pia huwezi pata mteja kwa location na nyumba hiyo ilivyo.. Hata Dodoma hiyo nyumba huwezi pata mteja kwa 500k labda 250k

Jenga yako ya vyumba vitatu mitaa hiyo, upangishe hata 50,000 kwa mwaka! ni yako!
Ila hiyo mwenye nyumba ambae anajua bei yake ya misumari kasema 500k kwa mwezi!

Labda nikuambie kitu,siku hizi wengi wanaojenga nyumba za kupangisha wanajenga ya vyumba viwili, ni ngumu kuona mtu amejenga nyumba za kupangisha siku hizi kakuwekea vitatu! uwe unafwatilia kidogo!

Na hii nyumba, mwenye nyumba angeshusha hata 450k ningekua nimeshalamba kichwa hata juzi!
 
Ukweli ni kwamba mtu mwenye iwezo wa kutoa 500k na uhitaji wa nyumba ya 500k hawezi kulia lia hivyo hapa!​
atakuambia tunzo nitafutie nyumba ingine ya 500k ila hatalia lia chini yake!​
 
Nimekumbuka lile tangazo la mangi
Jamaa " aah mangi Punguza kido

Mangi" Mbona unalia-liaaa kwani wewe umejipangaje? "

Jamaa akaji BUKU

Mangi akamjibu " Ndoorobo ww si heri hiyo Buku ununue gazeti ujipepee,
 
Demand kubwa ya nyumba iko Dodoma sasa hv sio Dar, unaishi kwa mazoea ww huendi na wakati.. Usawa huu wa Magu nani alipe nyumba hiyo 500k? Hii sio nyumba ya hela hiyo hata kidogo.. Pia huwezi pata mteja kwa location na nyumba hiyo ilivyo.. Hata Dodoma hiyo nyumba huwezi pata mteja kwa 500k labda 250k

za bei hiyo zipo
 
Back
Top Bottom