getrusa
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 2,150
- 1,822
Ipo eneo la kivule matembele karibu na kanisa la Suguye, ina vyumba vitatu vya kulala na masterbed room Moja, imezungushwa ukuta ina maji ya uhakika na umeme! Bei ni tsh, laki mbili na Elfu hamsini kwa mwezi.tsh 250,000..
Mawasiliano tafadhari njoo inbox..
Sent using Jamii Forums mobile app
Mawasiliano tafadhari njoo inbox..
Sent using Jamii Forums mobile app