Fundi Lyimo
Member
- Apr 21, 2023
- 5
- 4
Habari, kama kichwa cha habari kinavyojieleza...
•Nyumba ipo Muriet Mashariki, mita 200 kutoka barabara ya East Africa
• Nyumba ina vyumba kumi, (single room) na ukubwa wa eneo ya nyumba ni mita 20×15.
•Nyumba ina umeme na maji yapo karibu ni ya kufuatilia.
Bei ni Tsh 35,000,000.
Kwa mwenye uhitaji awasiliane kwa watsapp au kupiga namba 255762085442
•Nyumba ipo Muriet Mashariki, mita 200 kutoka barabara ya East Africa
• Nyumba ina vyumba kumi, (single room) na ukubwa wa eneo ya nyumba ni mita 20×15.
•Nyumba ina umeme na maji yapo karibu ni ya kufuatilia.
Bei ni Tsh 35,000,000.
Kwa mwenye uhitaji awasiliane kwa watsapp au kupiga namba 255762085442