Fundi Lyimo Member Joined Apr 21, 2023 Posts 5 Reaction score 4 Apr 21, 2023 #1 Habari, kama kichwa cha habari kinavyojieleza... •Nyumba ipo Muriet Mashariki, mita 200 kutoka barabara ya East Africa • Nyumba ina vyumba kumi, (single room) na ukubwa wa eneo ya nyumba ni mita 20×15. •Nyumba ina umeme na maji yapo karibu ni ya kufuatilia. Bei ni Tsh 35,000,000. Kwa mwenye uhitaji awasiliane kwa watsapp au kupiga namba 255762085442
Habari, kama kichwa cha habari kinavyojieleza... •Nyumba ipo Muriet Mashariki, mita 200 kutoka barabara ya East Africa • Nyumba ina vyumba kumi, (single room) na ukubwa wa eneo ya nyumba ni mita 20×15. •Nyumba ina umeme na maji yapo karibu ni ya kufuatilia. Bei ni Tsh 35,000,000. Kwa mwenye uhitaji awasiliane kwa watsapp au kupiga namba 255762085442
M MZAWA JF JF-Expert Member Joined Apr 4, 2014 Posts 4,491 Reaction score 3,996 Apr 22, 2023 #3 Pana vyumba kumi hapo?
Fundi Lyimo Member Joined Apr 21, 2023 Posts 5 Reaction score 4 Apr 22, 2023 Thread starter #4 Ndio ipo elo huu niupande wa mbele
Fundi Lyimo Member Joined Apr 21, 2023 Posts 5 Reaction score 4 Jul 17, 2023 Thread starter #5 Viwanja vinauzwa East Africa 10kwa10 1200000