Kijana Mpole
JF-Expert Member
- Nov 17, 2016
- 235
- 212
- Thread starter
- #21
Ni parefu sana ndugu kutoka mwisho wa barabara mita 30Barabara ikipanuliwa je?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni parefu sana ndugu kutoka mwisho wa barabara mita 30Barabara ikipanuliwa je?
Kiwanja chote kina ukubwa gani?Habari nyumba hii inauzwa ipo barabarani kabisa Goba million 58 tu karibu ujionee tupigie 0763542515
Ina vyumba vitatu na sebule umeme na maji vipo pia ina by quarter kwa nje kama una vijana vyumba vya nje viwili na choo vipo
Sehemu iliyobaki kubwa karibu ujionee hapa Goba au kwa Ulomi.
Mita 40 kutoka barabarani
View attachment 1680738View attachment 1680739View attachment 1680740View attachment 1680741View attachment 1680742View attachment 1680743View attachment 1680744View attachment 1680745View attachment 1680746
Vijana mna dharau huenda hata kakibanda huna mbona mnaharibu hii platform jifunzeni utani sio mzuriHapo uza kiwanja, hamna nyumba
Mkuu nikufunze Kitu,Vijana mna dharau huenda hata kakibanda huna mbona mnaharibu hii platform jifunzeni utani sio mzuri
Asante mkuu labda sababu nipo kwenye vitu vingine ila sio huyo mmoja ukisoma quotes hapo nyingi zipo kitoto mpaka unajiuliza jukwaa kama hili watoto wanafanya nini haya ilipasa yatokee FacebookMkuu nikufunze Kitu,
Acha Kila comment ijibu positively. Wengine wanakutoa kwenye reli unaweza kukuta Ni washindani wako kibiashara na sio wateja.
Watanzania tujifunze customer care. Kama Huyo ilibidi umuibu "Asante kwa maoni yako , karibu."
Karibu sana ndugu tukupatie hii kazi nyumba ipo barabarani inahitajika pesa kwa uharaka kama ni dalali mawasiliano 0763542515Dalaliiii
Hii kazi imekosa ushawishi mkuu.Karibu sana ndugu tukupatie hii kazi nyumba ipo barabarani inahitajika pesa kwa uharaka kama ni dalali mawasiliano 0763542515
Asante mkuuHii kazi imekosa ushawishi mkuu.
Picha,maelezo na lugha iliyotumika ni kama vile 'bora liende'.
Kila la kheri lakini.
20m TzsRangi yenyewe iko reception tu naona alinunua kopo moja la kuuzia sura.
Umeleta biashara kuwa mpole na maenye nidhamu. Mimi binafsi naona Bei ni kubwa sana ukilinganisha na nyumba ilivyo. Pia ungeweka ukubwa wa eneo ambalo ndio biashara kuu hapo hamna nyumbaAsante mkuu labda sababu nipo kwenye vitu vingine ila sio huyo mmoja ukisoma quotes hapo nyingi zipo kitoto mpaka unajiuliza jukwaa kama hili watoto wanafanya nini haya ilipasa yatokee Facebook
Asante mkuu kwa maoni yako
Karibu kupaona ndugu yangu eneo ni kubwa sana na sio nyumba moja ipo na ya nje ambayo ina vyumba viwili na eneoUmeleta biashara kuwa mpole na maenye nidhamu. Mimi binafsi naona Bei ni kubwa sana ukilinganisha na nyumba ilivyo. Pia ungeweka ukubwa wa eneo ambalo ndio biashara kuu hapo hamna nyumba