upendo wandi
New Member
- Jul 19, 2010
- 1
- 0
nyumba ni self contained vyumba 3 vya kulala, jiko na sebule
sh. 9mil inaweza kupungua
ipo mbezi juu karibu na baraza la mitihani
ukitaka kuiona wasiliana na namba 0756626298.
nyumba ni self contained vyumba 3 vya kulala, jiko na sebule
sh. 9mil inaweza kupungua
ipo mbezi juu karibu na baraza la mitihani
ukitaka kuiona wasiliana na namba 0756626298.
Je hapo ilipo nyumba ni sehemu ya ukubwa gani??Na je ina haki miliki na je kiwanjwa kimepimwa???Ungejibu ili tuweze kufanya biashara!
Mkuu, 90% ya jiji la dar haijapimwa. kama unataka vilivyopimwa nenda boko na bunju ambako vimepimwa. Mbezi juu haijapimwa na ndiyo maana inauzwa 9ml. wasiwasi wangu ni kuwa hicho kiwanja ni 12X12m, maana kwa bei hiyo ni vigumu kupata hata kiwanja kilichopimwa hapa dar.