Brain Hacker
Member
- Apr 12, 2016
- 23
- 11
sasa babu kwani huoni ameanza msingi kapandisha kidogo gema si ni nyumba hiyoKumbe nilikuwa sijui maana ya "nyumba"
Hapo naona ungesema tu unauza kiwanja
Mi nimeona kama tofali zimeshakosa uimara. Sijui kwa wengine ila mi hapo napiga hilo pagale chini naanza upya kiroho safi kabisasasa babu kwani huoni ameanza msingi kapandisha kidogo gema si ni nyumba hiyo