House4Sale Nyumba inauzwa!!! House for sale!!!

House4Sale Nyumba inauzwa!!! House for sale!!!

Teh teh teh mkuu hao kwa jina maarufu wanajulikana kama jenga uza,wao awangalii ubora wa kitu ila wao wanachoangalia pesa tu....mfuko mmoja wa cement matofali themanini(80).
Si kweli na siyo wote wanaofanya hivyo na ndiomana kabla ya kununua unatakiwa kufanya research...Hii ni biashara kama biashara zengine na hii inamaana mtu atayekua intersted atanunua na asiyetaka anaacha si basi!!!
 
Kiwanja kidogo, nyumba imejaa kiwanja kizima na bado wameweka fence ya ukuta, mbele tu ndio ukuta una ventilation! Hio nyumba lazima itakuwa na joto sana.
Daaah!!! ndugu umejitahidi sana kutoa kasoro na kukosoa ilhali ni biashara na haujahakiki hayo yote unayoyasema.Nyumba umeiona kwa picha hujaiona live, its not fair ni kuharibiana biashara.
 
Si kweli na siyo wote wanaofanya hivyo na ndiomana kabla ya kununua unatakiwa kufanya research...Hii ni biashara kama biashara zengine na hii inamaana mtu atayekua intersted atanunua na asiyetaka anaacha si basi!!!
Acha hasira mkuu, mitaa hiyo yenu mmekuwa maarufu kwa biashara za "jenga uza" ubora haupo, yaani hata mtoto akipiga konzi tofali linachanika.
 
Acha hasira mkuu, mitaa hiyo yenu mmekuwa maarufu kwa biashara za "jenga uza" ubora haupo, yaani hata mtoto akipiga konzi tofali linachanika.
Nimependa tu kukuuliza kuhusu hii nyumba umeshaiona? Kama hujaiona njoo uione kisha mchukue mtoto aipige konzi then u will get da answer
 
Duh.....kuna watu was taste za tofauti za rangi!

Bei ipo fair sana, vijana changamkieni!
 
Daaah!!! ndugu umejitahidi sana kutoa kasoro na kukosoa ilhali ni biashara na haujahakiki hayo yote unayoyasema.Nyumba umeiona kwa picha hujaiona live, its not fair ni kuharibiana biashara.
Samahani kama unaona nimekuharibia biashara.
 
Shukran sana kwa kutanguliza busara juu ya hili jambo...tupo pamoja sana,nafkiri unafahamu hali ni tete na majukumu yamekua ya kila mmoja kuhakikisha tunapata mkate wa kila siku.Nami pia nimekubali hizi ni changamoto tu japo ni vizuri pia nikakukaribisha hata nawewe ukipata nafasi uje uione.
 
Hakuna mizimu ya ki mbagala/chamazi kwenye hicho kiwanja..???nyumba ipo barabara ya kwenda wapi..???.Msongole..Mvuti .....Mbande..au Mkuranga..??
 
Back
Top Bottom