House4Sale Nyumba inauzwa ipo Kibaha

House4Sale Nyumba inauzwa ipo Kibaha

buyer be aware hilo ndio la msingi kuna jamaa yangu kanunua nyumba ambayo jamaa kaweka bond saccos baada ya kuuza mdaiwa kaacha lipa mkopo kufumba na kufumbua mnada huo jamaa pressure ipo juu sana kwa sasa
Mkuu usiogope nyumba haina deni
 
Du! Asante uncle magu. Mguu nipe namba yako ya M- pesa nikurushie hiyo pesa fasta fasta huku ukiwa unaendelea kuniandalia documents zote.
 
Huyo fundi aliyekuwekea tiles chooni ulimlipa???

Hana hata rula ya kunyosha mistari???
Mkuu Nyumba inaendelea ni jinsi unavyotaka mwonekano uwe kulingana na uwezo wako
 
Hata bei ndogo wateja hawapatikani
 
Yani ni tabu tupu hakuna wateja
 
Back
Top Bottom