House4Sale Nyumba inauzwa, ipo Tabata Relini barabarani. Bei nafuu kabisa

House4Sale Nyumba inauzwa, ipo Tabata Relini barabarani. Bei nafuu kabisa

NYUMBA INAUZWA.

MAELEZO
Ni nyumba mbili ndani ya compound moja
Moja ina vyumba vitatu na nyingine vyumba viwili.
Pia zina:
-sitting
-dining
-public toilet

UKUBWA
sqm400

DOCUMENTS
Leseni ya makazi

LOCATION
Tabata relini (Kituoni pale pale barabarani)

BEI
Tsh milion 90.
(Mazungumzo yapo). MAWASILIANO
Calls &whatsapp
0673540985
0765532858
Au fika ofisini Lufungira, Mwenge katika jengo la SAVEI PLAZA groundfloor.
View attachment 1420471View attachment 1420472View attachment 1420473View attachment 1420474

Sent using Jamii Forums mobile app
Dalali msomi. Umesomea taaluma gani mkuu ?

Acha kukaa kihasara hasara
 
Kiongozi hili eneo la nyumba halijai maji wakati wa mvua?
Iko eneo zuri sana ila nimeuliza hivyo kwa sababu moja nimeona hiyo nyumba imechanika
1.Nyumba iko bondeni,
Kwa hizo picha inaonekana kabisa kuta zimeloa mpaka madirishani afu Unasema ENEO HALIJAI MAJI.

2. Hiyo barabara ya rami inaonekana Haina Mfereji wa maji afu nyumba imeisogelea kabisa lami.
Maana ake umejenga kwenye hifadhi ya barabara.

3. Umesema NYUMBA iko relini, hapa sijui unajenga kitu gani kwny Akili ya MTEJA. Ukizingatia kipaumbele Cha awamu ya 5 Ni SGR na RAISI keshasema itapita hapo.

YOTE KWA YOTE, nakutakia biashara njema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiachia kuhusu reli pia mnunuzi anatakiwa ajiridhishe na upana wa barabara.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo halina Shaka kabisa kua imejengwa barabarani kabisa
(sio Tena kwny hifadhi ya barabara)

Kwa maana Hamna Rami inajengwa bila mifereji ya kupitishia maji.

Ukiiangalia hiyo lami Haina mifereji ya maji, maana ake jamaa alijenga kwenye eneo la Mfereji wa maji.

Kesho TU,
PANABOMOLEWA KUPISHA SGR au utanuzi wa barabara


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Elfu 15 ipo chap tumalize biashara nipageuze gesti bubu, shoo time buku mbili dakika 10
 
NYUMBA INAUZWA.

MAELEZO
Ni nyumba mbili ndani ya compound moja
Moja ina vyumba vitatu na nyingine vyumba viwili.
Pia zina:
-sitting
-dining
-public toilet

UKUBWA
sqm400

DOCUMENTS
Leseni ya makazi

LOCATION
Tabata relini (Kituoni pale pale barabarani)

BEI
Tsh milion 90.
(Mazungumzo yapo). MAWASILIANO
Calls &whatsapp
0673540985
0765532858
Au fika ofisini Lufungira, Mwenge katika jengo la SAVEI PLAZA groundfloor.
View attachment 1420471View attachment 1420472View attachment 1420473View attachment 1420474

Sent using Jamii Forums mobile app
Bosi ulikuwa una haraka ya nini sasa,si ungesubiri tu angalau hizi alama za mafuriko zinazoonekana hadi madirishani zikauke!..ungeuza kwa bei nzuri nakwambia. Sasa umeshaharibu kabisa manake kabla ya kununua nawaza kifusi cha kujaza mpaka level ya mabati hapo kisha ndio nianze kujenga msingi....nakushauri usiuze manake utampa presha mnunuzi asijeondoka na upepo wa Kisulisuli bure..
 
Back
Top Bottom