Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Dalali msomi. Umesomea taaluma gani mkuu ?NYUMBA INAUZWA.
MAELEZO
Ni nyumba mbili ndani ya compound moja
Moja ina vyumba vitatu na nyingine vyumba viwili.
Pia zina:
-sitting
-dining
-public toilet
UKUBWA
sqm400
DOCUMENTS
Leseni ya makazi
LOCATION
Tabata relini (Kituoni pale pale barabarani)
BEI
Tsh milion 90.
(Mazungumzo yapo). MAWASILIANO
Calls &whatsapp
0673540985
0765532858
Au fika ofisini Lufungira, Mwenge katika jengo la SAVEI PLAZA groundfloor.
View attachment 1420471View attachment 1420472View attachment 1420473View attachment 1420474
Sent using Jamii Forums mobile app
1.Nyumba iko bondeni,Kiongozi hili eneo la nyumba halijai maji wakati wa mvua?
Iko eneo zuri sana ila nimeuliza hivyo kwa sababu moja nimeona hiyo nyumba imechanika
Hilo halina Shaka kabisa kua imejengwa barabarani kabisaUkiachia kuhusu reli pia mnunuzi anatakiwa ajiridhishe na upana wa barabara.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bosi ulikuwa una haraka ya nini sasa,si ungesubiri tu angalau hizi alama za mafuriko zinazoonekana hadi madirishani zikauke!..ungeuza kwa bei nzuri nakwambia. Sasa umeshaharibu kabisa manake kabla ya kununua nawaza kifusi cha kujaza mpaka level ya mabati hapo kisha ndio nianze kujenga msingi....nakushauri usiuze manake utampa presha mnunuzi asijeondoka na upepo wa Kisulisuli bure..NYUMBA INAUZWA.
MAELEZO
Ni nyumba mbili ndani ya compound moja
Moja ina vyumba vitatu na nyingine vyumba viwili.
Pia zina:
-sitting
-dining
-public toilet
UKUBWA
sqm400
DOCUMENTS
Leseni ya makazi
LOCATION
Tabata relini (Kituoni pale pale barabarani)
BEI
Tsh milion 90.
(Mazungumzo yapo). MAWASILIANO
Calls &whatsapp
0673540985
0765532858
Au fika ofisini Lufungira, Mwenge katika jengo la SAVEI PLAZA groundfloor.
View attachment 1420471View attachment 1420472View attachment 1420473View attachment 1420474
Sent using Jamii Forums mobile app