House4Sale Nyumba inauzwa ipo Tanga mjini

maurice99

Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
43
Reaction score
29
Nyumba inauzwa ipo tanga mjini maeneo ya usagara ipo karibu na barabara.
  • Ina vyumba sita (6)
  • Sebule
  • Choo ndani
  • Fremu moja ya biashara
  • Maji + Umeme
Total Square meter (660)..Bei ni milioni sabini na tano {75,000,000} pia mazungumzo yapo.Kwa mteja Serious nicheki kupitia namba 0763316426 pia ina hati miliki kubwa.
 
Hii nyumba naipata ipo karibu na railway opposite na mnara nadhani wa vodacom.. Kuna jamaa yangu mmoja school mate anaitwa Moses Kihampa alikuwa ndo home kwao hapo!
 
[emoji23] nyumba kama hizi nilazima ukazikague kipindi cha masika maana hichi ni kipindi cha kiangazi lakini inaonekana kulikuwa na bwawa kwa nnje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…