Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Nyakati zimebadilika mkuu,hapo mmepata mmepata m 600
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You see1.1b inatafutwa jf? Humu kila siku watu wanalalamikia misosi, ajira, bata,nssf n.k?
Anyway u can be lucky to obtain the deal stake!
Ni hilo ghorofa ? Au hako ka banda ka kuku ndio unauza 1b ?Kama inavyojieleza hapo juu....
Nyumba ipo maeneo ya kariakoo mtaa wa magila karibu Emelly hotel....
Inafaa kwa ujenzi wa hotel na fremu za maduka!!!
Bei ni 1.1b mazungumzo yapo!!!!
Namba ya simu....0717 76 78 75
View attachment 826086 View attachment 826087View attachment 826088
Ndugu zako hawajasoma ? Sababu hili ndio tatizo linalotuathili waafrika. Mtu mwnye mshahara wa laki 8 ni vigumu kuwa a mambo ya uchawi uchawi wa mirathiHapo kesi za mirathi zimeshakwisha mahakamani.Vitimbi vya ndugu kuendeana kwa waganga.Wakuu msiombe Mimi niyaona kwenye familia yetu baada ya mshua kufariki.
Duh maisha ya dar .mimi nilidhani mleta mada zimemluka kichwani.kumbe ni kweli mnauziwa viwanja bilioniSiku zinaenda kasi sana, hyo bei ya 1.1b kwa kariakoo ya kipindi kile cha jk ni ndogo sana! Bei hapo ilikuwaga bilion 2 mpaka bilion 3, leo imshuka hivyo? Poleni
New york ipi kaka?Si bora nikanunue kiwanja newyork
Hahaha,..hajui hio hela NY haitoshi hata kodi ya miezi sita kwenye apartment zakueleweka.New york ipi kaka?
Yani wabongo kila mtu ni mjuaji....eti 1.1nb ambayo ni $500,000. nikodi ya miazi sita, apartiment N.Y .......hahahahaHahaha,..hajui hio hela NY haitoshi hata kodi ya miezi sita kwenye apartment zakueleweka.
Ata dar viko vya milioni kumi,inategemea sehemu gani,Kariakoo hiyo milioni kumi haupati Kiwanja labda upangishe nayo frem tuDuh maisha ya dar .mimi nilidhani mleta mada zimemluka kichwani.kumbe ni kweli mnauziwa viwanja bilioni
Huku mkoani kiwanja m10 na kina mawe na mchanga