House4Sale Nyumba inauzwa kariakoo

House4Sale Nyumba inauzwa kariakoo

Hapo kesi za mirathi zimeshakwisha mahakamani.Vitimbi vya ndugu kuendeana kwa waganga.Wakuu msiombe Mimi niyaona kwenye familia yetu baada ya mshua kufariki.
Ndugu zako hawajasoma ? Sababu hili ndio tatizo linalotuathili waafrika. Mtu mwnye mshahara wa laki 8 ni vigumu kuwa a mambo ya uchawi uchawi wa mirathi
 
Siku zinaenda kasi sana, hyo bei ya 1.1b kwa kariakoo ya kipindi kile cha jk ni ndogo sana! Bei hapo ilikuwaga bilion 2 mpaka bilion 3, leo imshuka hivyo? Poleni
Duh maisha ya dar .mimi nilidhani mleta mada zimemluka kichwani.kumbe ni kweli mnauziwa viwanja bilioni
Huku mkoani kiwanja m10 na kina mawe na mchanga
 
Hahaha,..hajui hio hela NY haitoshi hata kodi ya miezi sita kwenye apartment zakueleweka.
Yani wabongo kila mtu ni mjuaji....eti 1.1nb ambayo ni $500,000. nikodi ya miazi sita, apartiment N.Y .......hahahaha
 
Duh maisha ya dar .mimi nilidhani mleta mada zimemluka kichwani.kumbe ni kweli mnauziwa viwanja bilioni
Huku mkoani kiwanja m10 na kina mawe na mchanga
Ata dar viko vya milioni kumi,inategemea sehemu gani,Kariakoo hiyo milioni kumi haupati Kiwanja labda upangishe nayo frem tu
 
Back
Top Bottom