Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii nyumba haikuuzwa tuu?okay karibu sana
December hii baada ya kununua nguo za Christmas kuna ada ya shule.Hii nyumba haikuuzwa tuu?
Hii nyumba ilianza kutangazwa tangu january... naijua hiyo mitaa.December hii baada ya kununua nguo za Christmas kuna ada ya shule.
Mimi ninaipigia hesabu za kuweka frame, lakini wasiwasi wangu ni watu wa Tanroad na hifadhi ya barabara.Hii nyumba ilianza kutangazwa tangu january... naijua hiyo mitaa.
Hiyo ni barabara ya mtaa sio TANROAD na hizo nyumba hiyo mitaa imepimwa. Napajua vema.Mimi ninaipigia hesabu za kuweka frame, lakini wasiwasi wangu ni watu wa Tanroad na hifadhi ya barabara.
Ahsante kwa taarifa...
Ok mkuu all the bestBado sikuwa nchini kwa muda kidogo nimerudi sasa ndio naisimamia mwenyewe sikutaka kumuachia dalali wala mtu yoyote asimamie.
Tunafanana mawazo!Mimi ninaipigia hesabu za kuweka frame, lakini wasiwasi wangu ni watu wa Tanroad na hifadhi ya barabara.