House4Sale Nyumba inauzwa maeneo ya Kijitonyama

House4Sale Nyumba inauzwa maeneo ya Kijitonyama

Joined
May 29, 2014
Posts
83
Reaction score
23
Nyumba ya vyumba vinne inauzwa maeneo ya kujitonyama , eneo lina 1000mita za mraba. Ila nyumba imechukua mita za mraba 600. Mazingira ni mazuri pia iko karibu na Mesuma hotel. Ina vyumba vitano na vyoo na bafu viwili. Pia ina store ya nje. Vilevile nyumba hii ina parking capacity ya magari zaidi ya manne. Ina garden ya majani nzuri. Iko fenced na vilevile ina hati miliki. Bei ni 250M.
1477669939840.jpg
1477669957607.jpg
1477669978097.jpg
1477669978097.jpg
1477669978097.jpg
1477669993949.jpg
1477670014598.jpg
 
Pia kuna nyumba 3 bedrooms,Chanika jirani na kituo cha police/uwanja Wa Shule bei 80M
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Haya mbona mnaondoka kwenye mada....kama unaitaka nyumba tuwasiliane. Mnapoteza nguvu sana kwenye kukashifu, ungezihifadhi nguvu for getting money to buy for that of chanika
 
kuweni makini sana na izi nyumba za kununua kwa wakati huu wengiwao zinakua na mkopo zaidi ya benk moja nyingine nyingi zinakesi na kama mjuavyo kesi za ardhi kudumu kwa miaka 3, 4.ni mambo ya kawaida hapo unatumia mawakili kwa gharama kubwa na usumbufu sana

kwa upande mwingine zinakuwa za urithi hapo utaangaika nazo mpaka ukome

sasa usiombe ukakutana na wazew wa mjini utakuta nyumba kaachiwa mlinzi wao wanakwenda tengeneza hati kama vile mwenye nyumba kafa na taratibu zote wanapitia na jina la hati linakua lao baada ya miaka miwili mitatu anatokea mwenye nyumba aliyesemekana kafa wakati huo waliokuuzia hutawaona tena
 
Hii nyumba you need to trust us....ina hati na we are not bad guys. Hatuwezi kuwaweka kwenye trap. We can insure that in front of the court kama anything happen to you we are going to refund.
 
Nyumba ya vyumba vinne inauzwa maeneo ya kujitonyama , eneo lina 1000mita za mraba. Ila nyumba imechukua mita za mraba 600. Mazingira ni mazuri pia iko karibu na Mesuma hotel. Ina vyumba vitano na vyoo na bafu viwili. Pia ina store ya nje. Vilevile nyumba hii ina parking capacity ya magari zaidi ya manne. Ina garden ya majani nzuri. Iko fenced na vilevile ina hati miliki. Bei ni 250M. View attachment 425732View attachment 425733View attachment 425734View attachment 425734View attachment 425734View attachment 425735View attachment 425736
Recipts za TRA zipo?
 
Nyumba ya vyumba vinne inauzwa maeneo ya kujitonyama , eneo lina 1000mita za mraba. Ila nyumba imechukua mita za mraba 600. Mazingira ni mazuri pia iko karibu na Mesuma hotel. Ina vyumba vitano na vyoo na bafu viwili. Pia ina store ya nje. Vilevile nyumba hii ina parking capacity ya magari zaidi ya manne. Ina garden ya majani nzuri. Iko fenced na vilevile ina hati miliki. Bei ni 250M. View attachment 425732View attachment 425733View attachment 425734View attachment 425734View attachment 425734View attachment 425735View attachment 425736
Hakuna nyumba hapo ya 250M,nyumba paa liko chini sana,labda ununue uvunje,so unakua unanunua kiwanja,na kiwanja kwa 250M kwa kijitonyama hailipi
 
Mbona Kama imeshaanza kuzama,na mbona Kama pana chemchem
 
kuweni makini sana na izi nyumba za kununua kwa wakati huu wengiwao zinakua na mkopo zaidi ya benk moja nyingine nyingi zinakesi na kama mjuavyo kesi za ardhi kudumu kwa miaka 3, 4.ni mambo ya kawaida hapo unatumia mawakili kwa gharama kubwa na usumbufu sana

kwa upande mwingine zinakuwa za urithi hapo utaangaika nazo mpaka ukome

sasa usiombe ukakutana na wazew wa mjini utakuta nyumba kaachiwa mlinzi wao wanakwenda tengeneza hati kama vile mwenye nyumba kafa na taratibu zote wanapitia na jina la hati linakua lao baada ya miaka miwili mitatu anatokea mwenye nyumba aliyesemekana kafa wakati huo waliokuuzia hutawaona tena
Umeandika kweli tupu aisee kwa Dar yote yanawezekana tena na kuchonga hadi hati. Wanunuzi kuweni makini.
 
Back
Top Bottom