House4Sale Nyumba inauzwa maeneo ya Kijitonyama

House4Sale Nyumba inauzwa maeneo ya Kijitonyama

Haya mbona mnaondoka kwenye mada....kama unaitaka nyumba tuwasiliane. Mnapoteza nguvu sana kwenye kukashifu, ungezihifadhi nguvu for getting money to buy for that of chanika
Mkuu elewa tu kua mtu mwenye uwezo wa kutoa 250M hawezi kukashifu hiyo sehemu na wala hawezi kusema mambo ya kipumbavu au kukashifu, jua kila sehemu wapumbavu wapo! Mtu anaweza kusema ni gofu kumbe hata nauli anaomba! Hana hata jelo mfukoni kula kwa manati akisikia 250 anasikia mharo unamtoka ukichanganya na bangi na value basi anaona maruerue kama gofu! Umasikini mbaya sana! Mtu anaejua maeneo ya kijitonyama,mwenge,makumbusho, sinza ndo bei japo naamini maongezi yapo! Biashara njema mkuu ila usibishane na makapuku!
 
Mkuu elewa tu kua mtu mwenye uwezo wa kutoa 250M hawezi kukashifu hiyo sehemu na wala hawezi kusema mambo ya kipumbavu au kukashifu, jua kila sehemu wapumbavu wapo! Mtu anaweza kusema ni gofu kumbe hata nauli anaomba! Hana hata jelo mfukoni kula kwa manati akisikia 250 anasikia mharo unamtoka ukichanganya na bangi na value basi anaona maruerue kama gofu! Umasikini mbaya sana! Mtu anaejua maeneo ya kijitonyama,mwenge,makumbusho, sinza ndo bei japo naamini maongezi yapo! Biashara njema mkuu ila usibishane na makapuku!
Well said.
 
Mkuu elewa tu kua mtu mwenye uwezo wa kutoa 250M hawezi kukashifu hiyo sehemu na wala hawezi kusema mambo ya kipumbavu au kukashifu, jua kila sehemu wapumbavu wapo! Mtu anaweza kusema ni gofu kumbe hata nauli anaomba! Hana hata jelo mfukoni kula kwa manati akisikia 250 anasikia mharo unamtoka ukichanganya na bangi na value basi anaona maruerue kama gofu! Umasikini mbaya sana! Mtu anaejua maeneo ya kijitonyama,mwenge,makumbusho, sinza ndo bei japo naamini maongezi yapo! Biashara njema mkuu ila usibishane na makapuku!
Kwa Kijitonyama hio bei nzuri sana sana, watu wanajitia tu ujuaji. Hii bei ni poa sana sana.
 
Hakuna nyumba hapo ya 250M,nyumba paa liko chini sana,labda ununue uvunje,so unakua unanunua kiwanja,na kiwanja kwa 250M kwa kijitonyama hailipi
Wandugu pungezeni maneno yasio na tija, zingatia thamani ya nyumba pia ni eneo iliopo, maeneo hayo hata ukikuta kiwanja kitupu huwezi kupata chini ya 170M, sasa kwa bei hiyo ni ya kawaida sana, ni vizur kwanza kujuwa thamani ya eneo husika na sio sababu umeweza kupata kipande cha ardhi majohe kwa 2M, ndio ulinganishe na sehemu ambayo inayotambulika ki mipango miji.
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Watu wanaropoka tu ujinga hawajui hata hiyo kijitonyama ilipo japo wameambiwa karibu na mesuma, eti unasema gofu we unadhani hata akibomoa hiyo nyumba akauza kiwanja ambacho kimezungushiwa ukuta unadhani kitauzwa milioni 8 kama kibamba au 2.5 kama chanika? Kwa taarifa yenu hiyo bei 250 ni bei za kinyerezi huko, kijitonyama hyo ni bei ya kawaida sana ila kwa anaelewa na mwenye kuafford 250 atakichangamkia ila sisi wenzangu na mimi ukitajiwa 250 unaona kama unaibiwa, nawashauri mods waweke jukaa la matangazo makubwa hili jina la matangazo madogo madogo waachiwe wanaouza ist na viwanja chanika
 
Back
Top Bottom