House4Sale Nyumba inauzwa Manzese uzuri

House4Sale Nyumba inauzwa Manzese uzuri

Wengi mnaibeza hii mitaa lakini ndio mitaa ya kuishi awamu hii ya tano. Unauza ice cream , miguu ya kuku, utumbo, ubuyu, cd za kutafsiriwa , unakodisha maturubai " maana vigodoro ndio mahali pake"
Unapika cake safi kabisa za birthday za bei rahisi kabisa

Yaani uswaz ndio mambo yote . BTW naishi Temeke . Najua nachoongea namaanisha. Nazichanga uswaz balaa
 
Wengi mnaibeza hii mitaa lakini ndio mitaa ya kuishi awamu hii ya tano. Unauza ice cream , miguu ya kuku, utumbo, ubuyu, cd za kutafsiriwa , unakodisha maturubai " maana vigodoro ndio mahali pake"
Unapika cake safi kabisa za birthday za bei rahisi kabisa

Yaani uswaz ndio mambo yote . BTW naishi Temeke . Najua nachoongea namaanisha. Nazichanga uswaz balaa
Siku hizi hakuna vigodoro Kama kipindi Cha mzee wa msoga.

Watu tulijiajiri kukodisha na kupigisha mziki tulipiga Sana hela dah
 
Siku hizi hakuna vigodoro Kama kipindi Cha mzee wa msoga.

Watu tulijiajiri kukodisha na kupigisha mziki tulipiga Sana hela dah

Huku kwetu bado vipo sana tu mkuu yaani kama hivi karibia na mfungo watu wanafunga ndoa balaa[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
 
Wengi mnaibeza hii mitaa lakini ndio mitaa ya kuishi awamu hii ya tano. Unauza ice cream , miguu ya kuku, utumbo, ubuyu, cd za kutafsiriwa , unakodisha maturubai " maana vigodoro ndio mahali pake"
Unapika cake safi kabisa za birthday za bei rahisi kabisa

Yaani uswaz ndio mambo yote . BTW naishi Temeke . Najua nachoongea namaanisha. Nazichanga uswaz balaa
Hizo ni faida za uswazi kipindi cha mchana,tupe faida za kipind cha ucku. Mi naanza na hii ya kupigwa kabali vichochoroni na kutobolewa madirisha na vibaka wa ucku
 
Hiyo mitaa naijua, kuna Bomoa bomoa inapita ili hiyo barabara ya Urafiki - Sinza Darajani ipanuliwe,
Embu niambie usalama ukoje hapo
Bomoa bomoa inapita na watu wamelipwa fidia baadhi na wengine wanasubiri bado,, nyumba yangu haipo barabarani
 
Back
Top Bottom