Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekupenda.Wengi mnaibeza hii mitaa lakini ndio mitaa ya kuishi awamu hii ya tano. Unauza ice cream , miguu ya kuku, utumbo, ubuyu, cd za kutafsiriwa , unakodisha maturubai " maana vigodoro ndio mahali pake"
Unapika cake safi kabisa za birthday za bei rahisi kabisa
Yaani uswaz ndio mambo yote . BTW naishi Temeke . Najua nachoongea namaanisha. Nazichanga uswaz balaa
mudi brack choko.....ndio walivyoandika hapo.Futa kwanza hayo maandishi ya "mudi brack"
Hizo ni faida za uswazi kipindi cha mchana,tupe faida za kipind cha ucku. Mi naanza na hii ya kupigwa kabali vichochoroni na kutobolewa madirisha na vibaka wa ucku
Nimekupenda.
Unatuzuga tu,usikute upo zako masaki huko unatuchora tu[emoji4] [emoji4]Ukiishi vizuri na wana hupigwi kabali wala kutobolewa dirisha [emoji12][emoji12][emoji12]
shortly mmependana,tufupishe maneno kwa namna hii[emoji4] [emoji4]Thank you. Nimekupenda kwa kunipenda
Unatuzuga tu,usikute upo zako masaki huko unatuchora tu[emoji4] [emoji4]
Mi nipo tandale kwa tumbo[emoji41] ,we upo uswaz ya wapAa wapi masaki nikafanye nini? Life iko uswaz huku ndio kwenye pesa mkuu. Masaki wanaishi wengine kabisa sio mimi .
Ukiishi vizuri na wana hupigwi kabali wala kutobolewa dirisha [emoji12][emoji12][emoji12]
Mi nipo tandale kwa tumbo[emoji41] ,we upo uswaz ya wap
Nyumba namba ngap,wauswaz huwa tunatembeleanagaTMK mkuu
Nyumba namba ngap,wauswaz huwa tunatembeleanaga
Tupe tips mkuu, unafanyaje uwe salama?
Haya bhna[emoji4] [emoji4] [emoji4]Subiri siku ya sikukuu [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
Oh,Bomoa bomoa inapita na watu wamelipwa fidia baadhi na wengine wanasubiri bado,, nyumba yangu haipo barabarani