House4Sale Nyumba inauzwa Manzese uzuri

Nimekupenda.
 
Hizo ni faida za uswazi kipindi cha mchana,tupe faida za kipind cha ucku. Mi naanza na hii ya kupigwa kabali vichochoroni na kutobolewa madirisha na vibaka wa ucku

Ukiishi vizuri na wana hupigwi kabali wala kutobolewa dirisha [emoji12][emoji12][emoji12]
 
Hilo eneo tu na mazingira yanatia kifuchefuche
 
Bomoa bomoa inapita na watu wamelipwa fidia baadhi na wengine wanasubiri bado,, nyumba yangu haipo barabarani
Oh,
Huo umbali wa mita 10 uliosema una nini hasa?
Ni nyumba ya mtu mwengine, open space au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…