- Thread starter
- #21
Unajibiwa kutokana na vile unaongeamatusi ya nini tena mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajibiwa kutokana na vile unaongeamatusi ya nini tena mkuu
ahaaUnajibiwa kutokana na vile unaongea
Wengi sana hufanya haya makosa ya kutaka ukubwa wa kiwanja kwa Square meter... Square meter hazikupi picha ya shape ya kiwanja... maana Square meter inapatikana baada ya kuzidisha urefu kwa upana... the same Square meters unaweza ukazipata kwa kuzidisha upana na urefu tofauti.. mfano .. 20m X 30m = 600 Square meter.. lakini hata 10m X 60m = 600 Square metersKina sp mt 478, hati bado haijatoka kwa msajili
... hata 1m x 600m = 600 sqm pia aka uchochoro.Wengi sana hufanya haya makosa ya kutaka ukubwa wa kiwanja kwa Square meter... Square meter hazikupi picha ya shape ya kiwanja... maana Square meter inapatikana baada ya kuzidisha urefu kwa upana... the same Square meters unaweza ukazipata kwa kuzidisha upana na urefu tofauti.. mfano .. 20m X 30m = 600 Square meter.. lakini hata 10m X 60m = 600 Square meters
Ndo hivyo, maana isije ikawa mtu anauza uchochoro mrefuuu kwa kutaja 600 sqm bila kusema upana ni mita 1 na urefu ni mita 600... hata 1m x 600m = 600 sqm pia.
Funguka Mkuu.Mungu nifundishe kunyamaza
Mkuu, nilikuwa sijachunguza hiyo nyigine (nafikiri ni ya jirani). Sidhani kama itakuwa ni hiyoooo!Mkuu unazungumzia ipi kati ya hizo mbili; ile yenye tank mbili za maji juu au hiyo Zahanati?