peterlvitalis92
Member
- Jul 15, 2015
- 53
- 11
Ingia ndani uangalie! 😂
Pambana Dogo uchukue nyumba ya kuanzia maisha, sio hela zote zile za machimbo ya Merelani unamalizia kuchezea kamali pale Casino na wale watoto wa Kizungu 😜
Nyumba nzuri sana,nunua kijana...
Hapana nje panatosha tuIngia ndani uangalie! 😂
Ina mashimo nikinunua gari shorkup zitakufaPambana Dogo uchukue nyumba ya kuanzia maisha, sio hela zote zile za machimbo ya Merelani unamalizia kuchezea kamali pale Casino na wale watoto wa Kizungu 😜
Ngoja nikopeNyumba nzuri sana,nunua kijana...
usichelewe
Hahaha..........ndiyo upambane 🤗Ina mashimo nikinunua gari shorkup zitakufa
Ukisikia goba au mbweni wanauza nyumba niambirHahaha..........ndiyo upambane 🤗
Kwa nini mkuu?Ukisikia goba au mbweni wanauza nyumba niambir
Uko ndiko napapenda sana goba au mbweniKwa nini mkuu?
Sawa, japo Kuna nyumba inauzwa Mbezi beach dollar 450,000Ukisikia goba au mbweni wanauza nyumba niambir
Ukikaa mbali na mjini ndugu kuja kuja kwako kidogo kunakuwa na kauvivu ila ukiwa karibu et makumbusho gari moja jiandae kupokea wageni kila dayKwa nini mkuu?
Nipe nambaSawa, japo Kuna nyumba inauzwa Mbezi beach dollar 450,000
Ukiwa tayari nikuunganishe na Muuzaji 😜
Mbona huko palikua maporini tu mkuu🤔🤔🤔 kwa sasa ukinunua maporini miaka ijayo huko mbweni na goba patakua pakishamba tu kama ilivyo masaki kwa sasa🤔🤔🤔Uko ndiko napapenda sana goba au mbweni
Sawa kwasasa poli lipi niendeMbona huko palikua maporini tu mkuu🤔🤔🤔 kwa sasa ukinunua maporini miaka ijayo huko mbweni na goba patakua pakishamba tu kama ilivyo masaki kwa sasa🤔🤔🤔