min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Pwani mkuu😂Sawa kwasasa poli lipi niende
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pwani mkuu😂Sawa kwasasa poli lipi niende
Huko hapana kabisaPwani mkuu😂
Babu yangu alikua na shamba mbweni sio kiwanja sema shamba halafu huyo ni baba wa baba yangu 🤔🤔🤔🤔🤔 ila kwa sasa mbemwi papoje? Kwa nini mimi nisiwe na mashamba pwani? Ambae ni mjukuu🤔🤔🤔Huko hapana kabisa
Ukikopa,kabla ya kukabidhi hizo pesa itabidi tufike kupoza akili kwa vinywaji kabla ya kuchukua nyumbaNgoja nikope
AhahahBabu yangu alikua na shamba mbweni sio kiwanja sema shamba halafu huyo ni baba wa baba yangu 🤔🤔🤔🤔🤔 ila kwa sasa mbemwi papoje? Kwa nini mimi nisiwe na mashamba pwani? Ambae ni mjukuu🤔🤔🤔
Na kwamabibi ya kizunguUkikopa,kabla ya kukabidhi hizo pesa itabidi tufike kupoza akili kwa vinywaji kabla ya kuchukua nyumba
Duh,,,, nyumba yenyewe sasa !
Hapo kiroho safi mtu ambaye yuko willing anapachukua kwa 20-28 , anavunja anaweka mjengo wa maana
Wana ujasiri mpaka wa kuweka bei kwenye dola? Kweli nchi yetu ni nchi ya malimbukeni. Akitaja bei kwa sh inawakuwaje?Sawa, japo Kuna nyumba inauzwa Mbezi beach dollar 450,000
Ukiwa tayari nikuunganishe na Muuzaji 😜
Ukatumie nao?🤣Na kwamabibi ya kizungu
Ndio kabisa mkuuUkatumie nao?🤣
Wajanja hao, wameona Thamani ya Dola inapanda Kila SikuWana ujasiri mpaka wa kuweka bei kwenye dola? Kweli nchi yetu ni nchi ya malimbukeni. Akitaja bei kwa sh inawakuwaje?