Bukyanagandi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 11,061
- 16,753
Mkuu
I am talking too much OR I am talking too many facts?
Sikiliza wewe, yakupasa uwe reasonable na uwe na busara kwenye Mambo uyafanyayo.
Okay Mimi nilichofanya ni kumuelewesha huyo muuzaji kuwa kupitia hiyo analysis yangu hapo juu hizo bei yake ya 270mil ni impossible kupata mteja.
Well said, Nkuba muyaga.