House4Sale Nyumba inauzwa Milioni 26. Ipo Mbezi Mwisho, eneo la Msakuzi

MrsPablo1

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2013
Posts
1,073
Reaction score
1,941
Nyumba ipo Mbezi Mwisho mtaa wa Msakuzi ipo karibu na barabara/Kituo cha Daladala. Nyumba hiyo ina vyumba vitatu.

Price: TZS 26,000,000 (mwenye nyumba ana shida ya haraka kwahiyo kashusha bei)



.Documents serikali ya mtaa lakini wapo kwenye hatua za upimaji

• kiwanja kina ukubwa wa eneo 35 kwa 20 • maji na umeme vipo
.
Call/WhatApp: 0758851175
 
Kamata 15 Mkuu, hapo nasambaza kila kitu naanza upya kabisa kwa kutumia ramani yangu.
 
Dar mna raha sana; huku Arusha hicho kiwanja peke yake TZS 30 million
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…