House4Sale Nyumba inauzwa Mkoa wa Mwanza

House4Sale Nyumba inauzwa Mkoa wa Mwanza

hazard Don

JF-Expert Member
Joined
Oct 9, 2017
Posts
1,203
Reaction score
1,007
>wilaya ya ilemela,kata kitangiri,mtaa wa Jiwe Kuu
>Hati IPO
>Ni master room na Dining
>Bei 9m
>Bei ni maelewano
>nicheck PM
 
weka picha, au wewe ni dalali unaogopa ukiweka picha wajanja watakufanyia timing!!
 
Mkuu wenzako wanawekaga na PICHA ili waeleweke vizuri.
 
b21e91e2ee36a3d5e91fac46d027f740.jpg
Tambalale hapo mbele
1cbbd2a8d970619db62db4a0ca0841ed.jpg
mpaka unapita hapo kama unavoona
01b2b4e678259ef879455f4111bece78.jpg
c3f1f8b1eec59e288102b7a30b2b199a.jpg
hilo
788e06aee805f44b2817b6d49f9ab29d.jpg
hilo
7f2bd94b9e296f2fbf035c84c1dc078f.jpg

Hilo eneo hapo nyuma ni tambalale.
Kuhusu hilo Jiwe kuliondoa hapo let say 300,000
Bado mawe yanayotoka hapo unatumia kujenga
Hiyo point kulia ndipo mpaka unapita jirani na hiyo Nyumba.
Ni hatua 1 toka kwenye hiyo Nyumba.
Akhsanteni karibu kwa business.
 

Attachments

  • IMG-20171025-WA0000.jpg
    IMG-20171025-WA0000.jpg
    130.7 KB · Views: 152
  • IMG-20171025-WA0000.jpg
    IMG-20171025-WA0000.jpg
    130.7 KB · Views: 151
  • IMG-20171025-WA0004.jpg
    IMG-20171025-WA0004.jpg
    111.6 KB · Views: 153
  • IMG-20171025-WA0006.jpg
    IMG-20171025-WA0006.jpg
    112.4 KB · Views: 143
Back
Top Bottom