hazard Don
JF-Expert Member
- Oct 9, 2017
- 1,203
- 1,007
Nitaweka mkuu muda si mrefuweka picha, au wewe ni dalali unaogopa ukiweka picha wajanja watakufanyia timing!!
Akhsante kwa ushauri mkuuMkuu wenzako wanawekaga na PICHA ili waeleweke vizuri.
Sipo mwanza kwa sasa nashughurikia picha mkuu.Akhsante kwa ushauriweka picha, au wewe ni dalali unaogopa ukiweka picha wajanja watakufanyia timing!!
Bei ni 9m.tunaongea kwa info. Zaid callPicha babaa. Na bei pia tuwekee
Bei ni 9m.tunaongea kwa info. Zaid call
Hapa hata helicopter inayopaa kufika ni ngumu
Pikpik inafika hapo,kama wewe ni mkazi wa mwanza hutoshangaa.Hapa hata helicopter inayopaa kufika ni ngumu
Maeneo mengi ya mwanza yamezunguka na mawe ndo maana ikaitwa lock city.Wasukuma bana.hahahaha