The bump
JF-Expert Member
- Nov 22, 2019
- 1,488
- 2,908
- Thread starter
- #21
naona unakuja kuja mkuuu wewe utakua umepajua. Mitaa yote uliyotaja huwezi kufika bila kufika kichangani kama utatokea Kilakala au Hospital Kuu ya Morogoro.Kichangani huko kulikochangamka huko mkuu au sio wazee wa area 6 wazee wa 8 8 wazee wa mafisa kwa mambi