House4Sale Nyumba inauzwa Mwenge DSM ( mitaa ya TRA)

House4Sale Nyumba inauzwa Mwenge DSM ( mitaa ya TRA)

Tunzo

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2013
Posts
4,082
Reaction score
2,402
Kama mada isemavyo, nyumba ipo Mwenge mitaa ya TRA jijini Dar es salaam, nyumba ina vyumba vitatu na mabanda ya uwani, eneo lina sqm 500! Document zote zipo na hati! Bei ni 260M maongezi yapo
Pia kama unahitaji nyumba ya kununua maeneo hayo ya Mwenge mitaa ya TRA nichek Offer zinaanzia 200M mpaka 350K
Na pia wale wanaohitaji za kupanga iwe nyumba, chumba au ofisi nanyi karibuni!
Kwa maswali na maelezo zaidi nicheki kwa
0684448888 au 0713415537.

IMG-20180322-WA0002.jpg
IMG-20180322-WA0001.jpg
IMG-20180314-WA0001.jpg


Kwa mahitaji ya nyumba au chumba cha kupanga Mwenge, Sinza, M/nyamala na Mbezi
 
Mwenge zipo nne za kuona! Bei ni 200M to 300M karibuni
 
Karibuni.. vyuma vimekaza
 
Hii inauzwa ipo karibu na mliman city
 

Attachments

  • TMPDOODLE1525413478928.jpg
    TMPDOODLE1525413478928.jpg
    38.9 KB · Views: 140
Hii inauzwa ipo karibu na mliman city
 
Zipo na zingine karibuni
 
Hapo kinachonunuliwa ni kiwanja sio nyumba. Ukiona mtu kanunua nyumba kwa hela hiyo ujue ataibomoa na kujenga ghorofa.
 
Kama mada isemavyo, nyumba ipo Mwenge mitaa ya TRA jijini Dar es salaam, nyumba ina vyumba vitatu na mabanda ya uwani, ina sqm 500! Document zote zipo na hati! Bei ni 260M maongezi yapo
Pia kama unahitaji nyumba ya kununua maeneo hayo ya Mwenge mitaa ya TRA nichek Offer zinaanzia 200M mpaka 350K
Na pia wale wanaohitaji za kupanga iwe nyumba, chumba au ofisi nanyi karibuni!
Kwa maswali na maelezo zaidi nicheki kwa
0684448888 au 0713415537.

View attachment 722980View attachment 722981View attachment 722982

Kwa mahitaji ya nyumba au chumba cha kupanga Mwenge, Sinza, M/nyamala na Mbezi

Nyumba ya 500msq sio mchezo Mkuu?
 
Bei kubwa mnooo ukilinganisha na hilo banda linaloonekana kwenye picha.
 
Kama mada isemavyo, nyumba ipo Mwenge mitaa ya TRA jijini Dar es salaam, nyumba ina vyumba vitatu na mabanda ya uwani, ina sqm 500! Document zote zipo na hati! Bei ni 260M maongezi yapo
Pia kama unahitaji nyumba ya kununua maeneo hayo ya Mwenge mitaa ya TRA nichek Offer zinaanzia 200M mpaka 350K
Na pia wale wanaohitaji za kupanga iwe nyumba, chumba au ofisi nanyi karibuni!
Kwa maswali na maelezo zaidi nicheki kwa
0684448888 au 0713415537.

View attachment 722980View attachment 722981View attachment 722982

Kwa mahitaji ya nyumba au chumba cha kupanga Mwenge, Sinza, M/nyamala na Mbezi
WAtu wanamaneno mengi ya kukatisha tamaa. Kwa kuwa kwao wao vyuma vimekaza, then wanafikiria kuwa kwa wote vyumavimekaza.

Komaa tu, mwenye nayo atakuja kimya kimya.
 
Nyumba ya vyumba 3 na mabanda kwa 500sqm sizani mkuu.labda ni ukubwa wa hicho kiwanja
Kinachouza nyumba ni pamoja na sehemu iliyopo, Hope kwa sasa unaona mwenge kuna magorofa kadhaa yanapanda, fanya tafiti na bei za pale,

Ila huenda nabishana na mtu hajui hata mwenge ipo wapi
 
Back
Top Bottom