House4Sale Nyumba inauzwa Nyegezi Bondeni

House4Sale Nyumba inauzwa Nyegezi Bondeni

bab-D

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2015
Posts
1,215
Reaction score
322
Nyumba inauzwa nyegezi Bondeni, mtaa wa Nyamazobe iko njiani mkono wa kushoto ukiwa unapandisha na barabara ya kwenda shule ya msingi Nyasubi,jirani na kwa Lugiko.

Ina vyumba vitatu na siting room moja, pia kiwanja chake ni double na ni kikubwa unaweza jenga nyumba kubwa kwa anaye hitaji tuwasiliane awe tayari kufika site na kuiona bei ni milion 25.

Ukitoka nyegezi kona njoo na barabara ya nganza unaweza shukia bondeni baa na fuata maelekezo hapo juu. bahati mbaya niko kazini picha sina ila kuna watu ukifika nitawaunganisha akiwemo mpangaji, hati na viambata vyote vipo.. .
 
Inauzwa kwa bei nzuri na imejengwa 2009 na kuisha 2010 ina hati ya nyumba na haina deni imelipiwa mapato miaka yote
 
Weka bei na picha,ndio mengine yatafuatia!!
 
Baba D hebu tueleze vizuri shule ya msingi ipi,iko upande gan,bei gani,picha? au ukipitia nyegez stendi iko upande gan mkuu
 
Bei tsh milion 35,iko barabara ya kuelekea shule ya msingi nyasubi, ukiwa stand chukua toyo mwanbie akulete kwa lugiko mtaa wa nyasubi fika hapo piga sim, mimi niko kazini nitakuunganisha na mpangaji utaiona bahati mbaya sina picha mpaka nikienda
 
bado haijapata mteja, mnakaribishwa.
 
Jamani tuwe tunasoma vizur....wauliza being wakati kwenye thread ameandika bei...
 
Bado iko sokoni mnakaribishw
 
bado haijapata mteja, mnakaribishwa.
 
Baba D kwa nini unauza??? Nimesoma Saut hayo maeneo nayajua vizuri sana,isije kua hicho kiwanja ni gumashi...... Maana kina Kashekuli pande hizo wana case za viwanja kwa sana tu
 
inakalika kipindi chote cha mwaka?

Mr nguvu hainashida kabisa eneo ilipo ni pakavu hakunashida kipindi chote, unadrive mpaka ndan kwamza iko kando tu ya barabara
 
Back
Top Bottom