Baba D kwa nini unauza??? Nimesoma Saut hayo maeneo nayajua vizuri sana,isije kua hicho kiwanja ni gumashi...... Maana kina Kashekuli pande hizo wana case za viwanja kwa sana tu
Boc umepotea?
Mbona awali ulisema unauza mil 25 na sasa imepanda tena hadi ,35? Kwel mwaka huu tutaisoma nambaBei tsh milion 35,iko barabara ya
kuelekea shule ya msingi nyasubi, ukiwa
stand chukua toyo mwanbie akulete kwa
lugiko mtaa wa nyasubi fika hapo piga
sim, mimi niko kazini nitakuunganisha na
mpangaji utaiona bahati mbaya sina picha mpaka nikienda
Mr nguvu hainashida kabisa eneo ilipo ni pakavu hakunashida kipindi chote, unadrive mpaka ndan kwamza iko kando tu ya barabara