House4Sale Nyumba inauzwa

House4Sale Nyumba inauzwa

burtons

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2009
Posts
276
Reaction score
85
Nyumba inauzwa ipo maeneo ya ubungo maji gari inafika bei in 120,000,000/=
36ea9fd7b9b5815a0cf231e38e392a4e.jpg
e7025f51b1329a0ab48d280c8ebf71cd.jpg
dfebad961.jpg[/IMG]


Mawasiliano ni 0717698975 0756417990 au 0693300450
 
Hahaaha Milioni 120 kwa Nyumba kama Hiyo... Hapana Aiseee..
 
Tanzania tuna shida sana na miji yetu. Kufika gari nayo ni sifa ya kuuzia nyumba.
 
Sifa pekee ya hiyo nyumba ni kwamba gari inafika, na hiyo picha uliyopiga inaashiria hiyo ndo best part ya hiyo nyumba
Inawezekana anauza uwanja. Maeneo kama hayo sio rahisi kupata uwanja ulio wazi.
 
Back
Top Bottom