Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka picha basi.nyumba ya kisasa inauzwa ipo chanika buyuni ina vyumba vitatu vitatu viwili self contained na kingine cha kawaida pia nje ina servant quarter nayo ni self contained kiwanja kina hati ,fance gate ukubwa wa kiwanja ni sqm 660 bei 85milion mazungumzo hakuna dalali 0674673925
Wewe evelyn kumbe mkorofiNyumba nzuri hongera
Weka picha basi.
bei 85 milion mazungumzo hakuna dalali.
Hapo mimi kwa ufahamu wangu sijaelewa bado unamaanisha nini kati ya haya;
1.Wewe si dalali bali ni mmiliki
2.Wewe ni dalali pekee na huhitaji mwingine kukuletea wateja
3.Mazungumzo hakuna
4.Mazungumzo yapo.
mazungumzo yapoWeka picha basi.
Uweke picha msiiiiiewmazungumzo yapo nicheki kwa namba 0674673925 kama upo serious
mazungumzo bila kuona haiwezekani.au ni nyumba ya urithi unauza kwa kificho wenzio wasijue?mazungumzo yapo
Nadhani kuna dalali wa hiyo nyumba sio wewe. Wewe unajifunza udalali. Nyumba sio mbegu ya mahindi utamwambia mtu kwa simu akakuelewa..mazungumzo yapo
Nzuri lakini bila hata picha....?Nyumba ya kisasa inauzwa ipo chanika buyuni ina vyumba vitatu vitatu viwili self contained na kingine cha kawaida pia nje ina servant quarter nayo ni self contained kiwanja kina hati ,fance gate ukubwa wa kiwanja ni sqm 660 bei 85milion mazungumzo yapo 0674673925
Na hili tangazo ungeliweka huko huko Whatsappnjoo WhatsApp nikutumie uwiyone kama upo serious
umeshindwa kuweka humu mtandao unasumbua huko inbox unatuma picha kwa upepo ama ??jamani kuweni waelewa kidogo sijapost hili kuchat au jokes watu I'm serious nimeshindwa kuweka picha kwa sababu mtandao unasumbua nashindwa ku upload picha so kwa anayeitaji kuiyona anicheki kwa namba hiyo then nikakutumia ukaiyona na mambo mengine yakaendelea