House4Sale Nyumba kubwa kwenye kiwanja hekari 1 na nusu - Madale

House4Sale Nyumba kubwa kwenye kiwanja hekari 1 na nusu - Madale

Mkulima Mwerevu

New Member
Joined
Jan 27, 2021
Posts
1
Reaction score
0
20210627_140752.jpg
20210627_140743.jpg
20210627_140731.jpg
20210627_140704.jpg
20210627_140652.jpg
Screenshot_20210627-143609_Maps.jpg
20210627_140900.jpg
20210627_140918.jpg
20210627_140918.jpg
20210627_140900.jpg
20210627_140856.jpg


Habari!

Nyumba kubwa (haijaisha) yenye sifa zifuatazo ikiwa ndani ya kiwanja chenye ukubwa wa Hekari 1 na nusu inauzwa:
1. Sebule kubwa (6M × 8M)
2. Dining room kubwa (4M x 4M)
3. Jiko kubwa (3M x 5M)
4. Vyumba vitatu vikubwa, kimoja master
5. Public toilet
6. Stoo kubwa.
7. Kuna miembe na miti ya matunda mengine


Umbali: Km 11 kutoka round about ya Goba njia nne (Tazama Google Map Screenshort iliyoambatanishwa hapo chini)


Eneo ni Hekari Moja na nusu (Hapajapimwa)
Umeme umefika, ni kuvuta tu!

Gari mpaka kwenye nyumba inafika!
Bei 72 Million pesa za kitanzania (72,000,000 TZS)

Kwa mawasiliano piga +255768639604
20210627_141045.jpg
20210627_141043.jpg

 
Back
Top Bottom