Mkulima Mwerevu
New Member
- Jan 27, 2021
- 1
- 0
Your browser is not able to display this video.
Your browser is not able to display this video.
Habari!
Nyumba kubwa (haijaisha) yenye sifa zifuatazo ikiwa ndani ya kiwanja chenye ukubwa wa Hekari 1 na nusu inauzwa:
1. Sebule kubwa (6M × 8M)
2. Dining room kubwa (4M x 4M)
3. Jiko kubwa (3M x 5M)
4. Vyumba vitatu vikubwa, kimoja master
5. Public toilet
6. Stoo kubwa.
7. Kuna miembe na miti ya matunda mengine
Your browser is not able to display this video.
Umbali: Km 11 kutoka round about ya Goba njia nne (Tazama Google Map Screenshort iliyoambatanishwa hapo chini)
Your browser is not able to display this video.
Eneo ni Hekari Moja na nusu (Hapajapimwa)
Umeme umefika, ni kuvuta tu!
Gari mpaka kwenye nyumba inafika!
Bei 72 Million pesa za kitanzania (72,000,000 TZS)
Kwa mawasiliano piga +255768639604
Your browser is not able to display this video.