Nyumba Mbili Kwenye Kiwanja Kimoja, Sheria Inasemaje kuhusu Kuuza Moja?

Nyumba Mbili Kwenye Kiwanja Kimoja, Sheria Inasemaje kuhusu Kuuza Moja?

Wa Mjengoni

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2010
Posts
480
Reaction score
128
Wadau wa Sheria naomba mawazo yenu:

Ninamiliki kiwanja chenye hati na kimepimwa, ndani ya hicho kiwanja nilikuwa nimejenga nyumba moja na baadaye nikaona kuna nafasi ya kutosha nikaongeza nyumba ya pili hapohapo.

Sasa nataka niuze nyumba mojawapo kati ya hizo, je itawezekana kuzitenganisha ili mteja wangu awe na plot na nyumba yake nami nibaki na plot na nyumba yangu?

Je inaruhusiwa kisheria kutenganisha plot isije leta taabu baadaye, kwani ziko kwenye kiwanja kimoja.
 
Wadau wa Sheria naomba mawazo yenu:

Ninamiliki kiwanja chenye hati na kimepimwa, ndani ya hicho kiwanja nilikuwa nimejenga nyumba moja na baadaye nikaona kuna nafasi ya kutosha nikaongeza nyumba ya pili hapohapo.

Sasa nataka niuze nyumba mojawapo kati ya hizo, je itawezekana kuzitenganisha ili mteja wangu awe na plot na nyumba yake nami nibaki na plot na nyumba yangu?

Je inaruhusiwa kisheria kutenganisha plot isije leta taabu baadaye, kwani ziko kwenye kiwanja kimoja.

Ingawa sio mtaalamu sana wa sheria ila nadhani inawezekana la muhimu ni kuvunja/kubatilisha hati ya kwanza then unaomba hati mbili tofaouti kwa kila nyumba.
 
re visit the urban planning act and the unit title act vinginevyo nitafute pm me

Kwa Unit Titles itakuwa ngumu kidogo maana sheria haitoi procedure za kubadilisha (conversion) majengo ambayo yalishajengwa kwenye utaratibu wa kawaida kwenda kwenye unit titles, kuna marekebisho ya sheria yatakuja soon ndio ambayo yatawezesha kitu kama hicho kufanyika.,kwa sasa hivi labda ufanye process ya kupata sub-title au kugawa hiyo ardhi kwenye small parcels.
 
The same situation inanikumbusha the ongoing case of Anna Kagaruki v. Farid, Farida, mwapinga, TBA and Attorney General. Its a case with more or less material facts. Ilianza 2004 ikaendelea mpaka this year, if I'm not mistaken itakuwa imeshatolewa hukumu. It was presided over by The Hon. Mr. Justice Mgeta, high court Land div. At Dar es salaam
 
Wadau wa Sheria naomba mawazo yenu:

Ninamiliki kiwanja chenye hati na kimepimwa, ndani ya hicho kiwanja nilikuwa nimejenga nyumba moja na baadaye nikaona kuna nafasi ya kutosha nikaongeza nyumba ya pili hapohapo.

Sasa nataka niuze nyumba mojawapo kati ya hizo, je itawezekana kuzitenganisha ili mteja wangu awe na plot na nyumba yake nami nibaki na plot na nyumba yangu?

Je inaruhusiwa kisheria kutenganisha plot isije leta taabu baadaye, kwani ziko kwenye kiwanja kimoja.

inawezekana chief,
mno mno soma The Land Act 1999 section 162 through 164 itakusaidia sana
usipoielewe sana Pm is there for anyone
 
Back
Top Bottom