msonganzila
JF-Expert Member
- Jun 5, 2016
- 204
- 105
Karibuni ndugu jamaa na marafiki,nauza Nyumba mbili maeneo ya MBWENI Jirani na SHULE YA WATURUKI,iliyo na Fensi tayari ni 200M na hiyo ambayo haina Fensi ni 280M
Napatikana kwa 0715011022
Hii haina Dalali mwenyewe ndie hasa Mimi....daaaah jaman madalali mnafanya mali zisitoke
Utaratibu wa malipo unakuwaje ?mkopo au pesa taslim ? maana hapo ni parefu
Una maana anataka "kurudisha" fedha zilizofichwa kwenye mzunguko?Mkuu huyu itakuwa amelenga walioficha pesa kama anko magu alivyosema.
[emoji12]
[emoji12]
Una maana anataka "kurudisha" fedha zilizofichwa kwenye mzunguko?
Malipo ni Cash 100%......Utaratibu wa malipo unakuwaje ?mkopo au pesa taslim ? maana hapo ni parefu
sawa sawa mkuu nimekupata,lakini kwa usawa huu wa mzee magu kuwa na 200M cash ni issue hasa kwa sisi wenye vipato vya kawaida.Malipo ni Cash 100%......
Aaaah aaah umetisha...wewe ni balaa....gholofa kwa 200M inawezekanaunaumwa ww nyumba gani iyo yakuuza 200m iyo pesa c bora nijenge gholofa