House4Sale Nyumba mbili zinauzwa

House4Sale Nyumba mbili zinauzwa

280m kwa nyumba hata haijaisha? Pheeew! Au ni thamani ya kiwanja ndio imefanya nyumba iwe ghali hivyo?

Kwa faida ya serious buyers;
..Kuna hati miliki ya kiwanja?
..Eneo limepimwa?

280m ni kwa matajiri aisee...Dah!!
Hati ipo....
Eneo pia garama yake kubwa kwa uwanja kama
 
280m kwa nyumba hata haijaisha? Pheeew! Au ni thamani ya kiwanja ndio imefanya nyumba iwe ghali hivyo?

Kwa faida ya serious buyers;
..Kuna hati miliki ya kiwanja?
..Eneo limepimwa?

280m ni kwa matajiri aisee...Dah!!
Eneo limepimwa....
Eneo hilo gharama ya kiwanja ni kubwa....
Ujenzi pia nimetumia gharama kubwa kwani matarajio ilikuwa kuishi Mimi mwenyewe na Famiria....
 
Back
Top Bottom