House4Sale Nyumba mpya inauzwa Kigamboni-Mikwambe

Kahtan Ahmed

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
765
Reaction score
490
Habari wanajamii

[emoji213]Ni nyumba ya pili toka barabara kuu ya lami
[emoji213]Nyumba ina vyumba vitatu, viwili masters
[emoji213]Public Toilet moja
[emoji213]Ukumbi, Dinning, Jiko
[emoji213]Parking gari tatu ndogo zinakaa
[emoji213]Nyumba ina fence
[emoji213]Umeme na maji tayari

Bei ni Tsh. Mil. 65 ila maongezi yapo
Kwa mawasiliano 0762 987034
Karibuni sanna


 
Habari Jamii Forums,
  • Nauza nyumba yangu mwenyewe iliopo Kigamboni Mikwambe.
  • Ni nyumba ya pili toka barabara kuu ya lami.
  • Nyumba ya vyumba vitatu wiwili ni masters.
  • Ina jiko public toilet dinning na sebule pamoja na fance ya kulaza gari tatu.
  • Ukubwa wa eneo ni sqm 340.
  • Document ni serikali za mtaa.
  • Itapendeza kuahirikisha uongozi wa jamii forum ili kuepuka utapeli.
0762987034

Asanteni sana.






 
Hakuna mtu anaweza kununua hiyo nyumba kwa bei ya mil 700 kama ulivyosema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…