mama kubwa
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 6,230
- 9,889
Na mie nina kiwanja cha hivyo Dodoma kinanisumbua nataka nikiuze documents hazijakamilika. Kila la heri nyumba nzuri sana.Maeneo haya walipima ila ndio wale waliokula helq zetu wakakimbia hawakumqliza kazi
Mkuu nijuavyo mimi Mikwambe ipo Temeke,
Naomba nisahihishe kama nimekosea.
Kabla ya kuuza mali zetu hasa nyumba na kiwanja tujitahidini kupata hati halali kwanza TOKA wizara ya ardhi ,siku hizi matapeli wengi sana,nyumba/kiwanja kiMoja kinauzwa mara mbili na watu hawana wasi wasi.
Nyumba Kali
Nyumba nzuri bei reasonable tatizo sina pesa
Inshaallah utafunguliwa njia tuPesa imekua ngumu sanna mkuu ndio mana nauza reosanable ili niuze tu
Chief, ng'ambo umetoka lini?.Hapana sio bank mambo binafsi mimi siwezi kukopa bank hatq siku moja bora niuze kisha nianze upya
Chief, ng'ambo umetoka lini?.
Mikwambe ni eneo linalokua kwa kasi.Habari Jamii Forums,
0762987034
- Nauza nyumba yangu mwenyewe iliopo Kigamboni Mikwambe.
- Ni nyumba ya pili toka barabara kuu ya lami.
- Nyumba ya vyumba vitatu wiwili ni masters.
- Ina jiko public toilet dinning na sebule pamoja na fance ya kulaza gari tatu.
- Ukubwa wa eneo ni sqm 340.
- Document ni serikali za mtaa.
- Itapendeza kuahirikisha uongozi wa jamii forum ili kuepuka utapeli.
Asanteni sana.
Mil 60 jumla na viatu?
Mikwambe ni eneo linalokua kwa kasi.
Ni center nzuri sana kwa watu wenye dhamira ya uwekezaji wa muda mrefu. Pia mradi wa Mwendokasi wa Mbagala ukikamilika, feeder buses zitakuwa zinakuja hadi huko Mikwambe. Survey ishafanyika.
Mwenye nia walah namshauri anunue hiyo nyumba kabla sijafanya maamuzi magumu ya kuanza kulipia kwa awamu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Usivute bangi chooni mkuu