House4Rent Nyumba Mpya inauzwa Singida (mjini) kwa 30m.

NAREI

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2017
Posts
1,730
Reaction score
1,660
Habari za majukumu nyote,
Kuna Dada yangu kakwama anauza NYUMBA yake, iliyopo maeneo ya singida mjini.
MAELEZO
NYUMBA inapatikana singida mjini maeneo ya JINERI.
kutoka stand kwa bajaji ni tsh 500 tu.
Nyumba ina vyumba vinne (viwili ni master), jiko, sebule, store na maliwato ya pamoja.
Ukubwa wa eneo la nyumba ni meter 38 kwa 46 (sqm 1648)
Nyumba imeshakamilika kwa 100%
Umeme upo jirani na maji pia. ( ni kuvuta tu)
Tiles,gypsums, aluminum windows (inclusively)
Contact: 0756 832833

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyumba nzuri kulingana na iyo Bei....sasa kama anahitaji pesa ya haraka ambayo labda ni chini ya hiyo mil30 angeweza kuomba mtu alipe asilimia 65% ya bei mil30 alafu iliyobaki atanguliziwe, ila kwa masharti ya makubaliano.
 
Kwa bei ya 30m kiuhalisia ni ndogo. Nyumba hiyo, bila kumung'unya maneno, ina thamani kubwa zaidi ya 30m. Hivyo, kwa mwenye mali kutaka kuiuza kuwa 30m tu ni dalili wazi mwenzetu amekwama mahali. Tumsaidie badala ya kugandamiza zaidi. Kama nawe huna fedha kaa kimya badala ya kuandika maneno yasiyopaswa kutoka kwa muungwana.
 
Nyumba nzuri kulingana na iyo Bei....sasa kama anahitaji pesa ya haraka ambayo labda ni chini ya hiyo mil30 angeweza kuomba mtu alipe asilimia 65% ya bei mil30 alafu iliyobaki atanguliziwe, ila kwa masharti ya makubaliano.
Potential opinion.
mkuu nadhan akitokea mtu wa namna hiyo hawezi kukataa, amekwama kwenye biashara zake plus school fees za watoto.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji109][emoji109][emoji109][emoji106][emoji106]
 
Hiyo bei ni ndogo sana kulingana na thamani ya nyumba, hata ukipewa 50m ujenge hiyo nyumba unaweza usiimalize kwa kuishiwa pesa, inawafaa zaidi watu wa maeneo hayo.
 
Mkuu mbona kama ni nje ya mji kidogo jinery napafahamu pana majengo mengi kidogo au sivyo navyofikiria?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…